Ad Details
-
Ad ID: 13522
-
Added: 25th April 2021
-
Sale Price: 3,000
-
Location: Tanzania
-
State: Dar es Salaam Region
-
Phone: 0677775000
-
Views: 487
Description
*SAMAKI WA MCHUZI WA NAZI*
*MAHITAJI*
*•* Nyanya
*•* Pilipili hoho
*•* Vitunguu maji
*•* Vitunguuswaumu
*•* Carrots
*•* Ndimu
*•* Nazi (tui zito)
*•* Chumvi
*•* Samaki
*•* Tangawizi
*.* Bamia
*NOTE:* 👆👆Unaweza kutumia MAHITAJI yako Kwa kiasi unachotaka.
*MATAYARISHO*
➖Andaa viungo – tangawizi, ndimu, vitunguu saumu – menya, kata na ponda kama inawezekana.
âž–Osha samaki vizuri kisha mloweke kwenye viungo (chaganya tangawizi,ndimu,vitunguu saumu na chumvi) kwa muda wa saa moja.
➖Andaa viungo vyako mbadala – nyanya,vitunguu,karoti, na pilipili hoho.
âž–Tengeneza tui zito la nazi na hifadhi pembeni.
âž–Bandika kikaangio, au sufuria jikoni, weka mafuta ya kula na acha yapate moto.
âž–Weka samaki. Kaanga samaki ila hakikisha asikauke sana.
Fanya hivyo kwa samaki wote waliobaki.
➖Bandika sufuria jikoni weka mafuta kiasi – unaweza pia kutumia uliyokaangia samaki
Mafuta yakipata moto, weka vitunguu maji kisha koroga hadi kibadilike rangi kiwe rangi ya udongo.
âž–Weka kitunguu saumu kisha koroga kidogo kama dakika 1
Weka pilipili hoho na karoti. Koroga kiasi, kwa takribani dakika 2.
âž–Weka nyanya na Bamia zako, koroga kiasi ili zichanganyike vizuri.
âž– Funika na mfuniko na acha ziive kwa mvuke.
âž–Nyanya zikiiva, weka tui zito liache lichemke kama dakika 10.
âž–Mchuzi ukiwa mzito weka samaki na koroga mpaka samaki achanganyikane na viungo vizuri.
âž–Acha jikoni kwa dakika takribani 3 nakisha ipua.
tayari Kwa Kuliwa
Bids
BID Stats : 0 Bids posted on this ad
Let’s Create Your Bid
Only registered user can post offer *
Ad Price
3,000