SOKO LA MTANDAO TANZANIA Jisajili na kuweka Matangazo BURE MILELE! 0677775000
classiera loader
image

Ad Details

  • Ad ID: 13530

  • Added: 2nd May 2021

  • Sale Price: 2,500,000

  • Location: Tanzania

  • State: Dar es Salaam Region

  • Phone: 0754298218

  • Views: 772

Description

*VIWANJA VINAUZWA KWA BEI NZURI KIBAHA* Viwanja vya makazi Halmashauri ya Mji Kibaha eneo la Misugusugu. Ni kilometer 2 kutoka barabara ya lami. Eneo ni la makazi, zuri na tambarare. Kuna makazi ya watu, maji ya DAWASA na umeme wa TANESCO. Gari inafika ktk kila kiwanja. *Mchanga, matofari na vifaa vya ujenzi vinapatikana jirani kabisa*. Bei kiwanja cha ukubwa wa mita(sio hatua) 20 kwa 20 ni *sh. 2,500,000*. Unaweza kupata viwanja 2 au zaidi ukaviunganisha ukubwa uutakao. Bei haipungui. Faida muhimu unanunua kwangu mimi mmiliki 0754298218 moja kwa moja kwa uhakika bila usumbufu wowote maana nina mji hapo. Karibuni sana kuviangalia na kujichagulia.

Bids

BID Stats : 0  Bids posted on this ad

Let’s Create Your Bid

Only registered user can post offer *

Ad Price

2,500,000

classiera loader

Related ads

LIST YOUR BUSINESS TODAY!!