SOKO LA MTANDAO TANZANIA Jisajili na kuweka Matangazo BURE MILELE! 0677775000
BUY AND SELL IN TANZANIA FOR FREE

Ad Details

  • Ad ID: 13519

  • Added: 25th April 2021

  • Location: Tanzania

  • State: Dar es Salaam Region

  • Views: 657

  • Sale Price: 3,000

Description

MAKANDE
🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹
MAHITAJI
1. MAHINDI
2. MAHARAGE
3. KARANGA MBICHI
4. NAZI
5. HOHO
6. CARROT
7. KITUNGUU MAJI
8. CHUMVI
9. CURRY POWDER
10.MAFUTA
11.IRIKI
🌷🌷🌷🌷🌷🌷🌷🌷🌷🌷🌷🌷🌷🌷🌷🌷
JINSI YA KUANDAA
1.Chukua mahindi na maharage na karanga mbichi (karanga sio lazima) vikiwa visafi, andaa jiko lako weka maji ya kutosha ukimaliza weka mchanganyiko wako huo πŸ‘†πŸ½ na funika mpaka viive,
2. andaa nazi yako chuja matui mawili zito na jepesi
3. andaa viungo vyako vyote ☝️
4.weka sufuria jikoni na mafuta kidogo sana, kaanga vitunguu vyako na iriki, vikianza kuwa vya brown weka carrot na hoho (hoho na carrot uache kidogo uje uweke mwishoni pia kwa radha nzuri zaidi), utaweka nyanya kiasi, zikiiva utaweka tomato paste na carry powder na chumvi, koroga alafu weka kande zako, changanya vizuri weka tui jepesi koroga likiiva weka tui zito na hoho na carroti zilizo bakia, koroga mpaka liive, epua tayari kwa kuliwa πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹

LIST YOUR BUSINESS TODAY!!