SOKO LA MTANDAO TANZANIA Jisajili na kuweka Matangazo BURE MILELE! 0677775000
classiera loader
image

Ad Details

  • Ad ID: 7849

  • Added: 29th March 2019

  • Sale Price: on call

  • Location: Tanzania

  • State: Tanga Region

  • Phone: 0752 629 252

  • Views: 1356

Description

MAGONJWA YA VIUNGO VYA SEHEMU ZA UZAZI NA MAAMBUKIZI YAKE

Magonjwa ya viungo vya sehemu za uzazi huenea kwa njia ya mawasiliano ya ngozi. Kama mtu atafanya mapenzi na mtu ambaye ameathirika sehemu za siri au kwenye viungo vya uzazi anaweza kuambukizwa pia. Viungo hivyo vinaweza kupitisha maradhi hayo kwa njia ya ngono. Dalili zake huanza kuonekana kati ya siku 1 na miezi 3 tangu maambukizi ya awali .
Dalili zake ni pamoja na;
Utando / uvimbe mweupe mkubwa wenye rangi ya umbo la maua juu ya sehemu za siri. Viungo vinaweza kuonekana karibu na uke, uume, korodani au sehemu ya haja kubwa.
Unaweza kutokea mmoja mmoja au katika vikundi. Unaweza kujikuna, lakini kwa kawaida hauna maumivu. Mara nyingi hakuna dalili nyingine, na viungo vinaweza kuwa vigumu kuviona. Kwa upande wa wanawake, hali hiyo inaweza kujitokeza kwenye viungo vya uzazi ndani ya uke au juu ya mfuko wa uzazi, na hii inaweza kusababisha kutokwa na damu kidogo au – mara chache sana isiyo ya kawaida ukeni.
Matibabu: Ugonjwa wa viungo au uvimbe unaweza kuondolewa kwa njia mbalimbali kama vile dawa za kupaka na kumeza. Hata hivyo kwa kuondoa utando wa sehemu za siri ni vigumu na hivyo ni lazima kufanyika kwa makini sana kwa watu wenye mafunzo ya huduma ya afya. Kamwe usijaribu kutibu viungo vya uzazi au magonjwa ya ngono mwenyewe daima tafuta ushauri wa daktari.
Dalili za magonjwa ya ngono kwa wanawake / wasichana ni pamoja na:
Kutokwa na ute usio wa kawaida ndani ya uke ambao unakua mzito na wenye harufu mbaya
Maumivu ya chini ya tumbo
Maumivu au kuhisi maumivu makali wakati wa kupitisha mkojo
Maumivu wakati wa kufanya ngono
Kutoka damu ukeni isiyo ya kawaida
Kuwashwa sehemu za siri
Kupata uvimbe usio wa kawaida ukeni au katika sehemu za siri
Jeraha, kidonda katika sehemu za siri
Vipele, ikiwa ni pamoja vipele katika kiganja cha mkono na nyayo za miguu.

Dalili za magonjwa ya ngono kwa wanaume / wavulana ni pamoja na;
Jeraha, vidonda, upele au malengelenge juu au karibu na uume
Kutokwa vitu kama usaha kwenye uume
Maumivu au hali kama kuwashwa wakati wa kukojoa
Maumivu wakati wa kufanya ngono
Maumivu na uvimbe wa korodani
Uvimbe wenye ukuaji usio wa kawaida kwenye sehemu za siri
Vipele, ikiwa ni pamoja vipele katika kiganja cha mkono,nyayo za miguu.
Watu wengi ambao wana magonjwa ya ngono hawana dalili, lakini bado wanaweza kuwa wameambukizwa na kuwaambukiza wengine
Kwa matibabu ya haraka, uhakika na nafuu, ni wakati wako sasa wa kutembelea zahanati yetu ya Nsong’wa Traditional Clinic, ili uweze kupata dawa itakayotibu na kumaliza maradhi ya viungo vya uzazi itakayokuwezesha kupona kwa mda mfupi.
(Kwa maelezo zaidi unaweza kupiga simu namba 0752 629252)
NSONG’WA TRADITIONAL CLINIC – HUTOANGAIKA TENA

Tags :

Bids

BID Stats : 0  Bids posted on this ad

Let’s Create Your Bid

Only registered user can post offer *

Ad Price

on call

classiera loader

Related ads

LIST YOUR BUSINESS TODAY!!